|
USAIN BOLT |
USAIN BOLT,mwenye umri wa miaka 25 kutoka JAMAICA amesema ataweka record mpya ya dunia katika michuano ya olympic itakayofanyika jiji LONDON.
Bolt anayeshikilia rekodi ya dunia ana medali tatu alizochukua BEIJING-CHINA mwaka 2008 kwa rekodi ya kukimbia kwa muda wa sekundi 9.69.
|
BOLT | | | |
Baada ya mwaka mmoja alivunja rekodi kwa kukimbia mita 100 kwa muda wa sekunde 9.58 kwenye michuano ya dunia iliyofanyika BERLING.
No comments:
Post a Comment